الموضوع: Nini Ni Ushuhuda Ambao Kutokana Nayo Anakua Na Yakini Mumini Kua Yeye Ni Katika Kaumu Anawapenda Allah Na Wanampenda?

النتائج 1 إلى 1 من 1
  1. Post Nini Ni Ushuhuda Ambao Kutokana Nayo Anakua Na Yakini Mumini Kua Yeye Ni Katika Kaumu Anawapenda Allah Na Wanampenda?


    Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
    الإمام ناصر محمد اليماني

    03 - 12 - 1436 هـ
    16 - 09 - 2015 مـ
    08:41 صباحاً
    https://ns2.nasser-alyamani.org/showthread.php?t=24153

    ــــــــــــــــــــــ

    ما هو البرهان الذي من خلاله يوقن المؤمن أنّه من قومٍ يحبّهم الله ويحبّونه؟
    Nini Ni Ushuhuda Ambao Kutokana Nayo Anakua Na Yakini Mumini Kua Yeye Ni Katika Kaumu Anawapenda Allah Na Wanampenda?


    Bismillah Al'Rahman Al'Rahim, Na Sala Na Salam Ju Ya Wote Ma Nabi Na Mitume Na Waumini Wote Katika Kila Zama Na Pahala Mpaka Siku Ya Hisabu, Ama Baada Ya Hapo..
    Salamu Za Allah Ju Yenu Wa Rahmatuhu Wa Barakatuhu, Salam Ju Yetu Na Ju Ya Waja Wa Allah Wema..

    Na Suali Ambalo Lajiweka Lenyewe Ni: Nini ni ushuhuda ambao kutokana nayo anakua na yakini mumini kua yeye ni katika kaumu Anawapenda Allah na wanampenda? Na jibu kwa haki ni:
    [[ Yule Anae Mpenda Allah Kuliko Pepo Yake; Wallahi Yule Ambae Ameumumba Mtu Kutokana na udongo na Akawafanya malaika Wake walio kurubishwa wamsujudie kwamba atakae mpenda Allah kuliko pepo ya neema na mahurileni na wildan wa milele basi hakika yeye hatoridhika mpaka Awe Mola Mlezi Wake Radhi Ndani Ya Nafsi Yake Hana Majuto Wala Huzuni na pamoja yakwamba uwadhimu wa mapenzi ya walio kurubishwa kwa Mola Mlezi wao lakini wao hawakujua uwadhimu wa majuto na maskitiko Ya Mpendwa wao Allah Mwenye Huruma Kuliko Wenye Huruma Wote katika Nafsi Yake, Kwajili Ya hivo wameridhika na neema ya pepo yake]]
    Eee Hakika Fadhla Ya Allah Kwa Kutumiliza Al'Imam Al'Mahdi Kwa Umma Hu ilikua Ni Adhimu.

    Na Salam Ju Ya Mitume, Na Al'Hamdulillah Rabil3alamin..
    Ndugu Yenu; Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
    وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..
    أخوكم؛ الإمام المهدي ناصر محمد اليماني.
    __________


    اقتباس المشاركة 203013 من موضوع ما هو البرهان الذي من خلاله يوقن المؤمن أنّه من قومٍ يحبّهم الله ويحبّونه ؟


    [لمتابعة رابط المشاركـــــــــــــة الأصليّة للبيــــــــــــــان ]
    https://ns2.nasser-alyamani.org/showthread.php?p=203007

    الإمام ناصر محمد اليماني
    03 - 12 - 1436 هـ
    16 - 09 - 2015 مـ
    08:41 صباحاً
    ــــــــــــــــــــــ



    ما هو البرهان الذي من خلاله يوقن المؤمن أنّه من قومٍ يحبّهم الله ويحبّونه ؟

    بسم الله الرحمن الرحيم، والصلاة والسلام على كافة الأنبياء والمرسلين وجميع المؤمنين في كلّ زمانٍ ومكانٍ إلى يوم الدين، أمّا بعد..
    سلامُ الله عليكم ورحمة الله وبركاته، السلام علينا وعلى عباد الله الصالحين..
    والسؤال الذي يطرح نفسه هو: ما هو البرهان الذي من خلاله يوقن المؤمن أنّه من قومٍ يحبّهم الله ويحبّونه؟ والجواب بالحقّ هو:

    [[ من يحبّ الله أكثر من جنّته؛ فوالذي خلق الإنسان من سُلالةٍ من طينٍ وأسجدَ له ملائكته المقرّبين إنّ من يحبّ الله أكثر من جنّات النعيم والحور العين والولدان المخلدين فإنّه لن يرضى حتى يكون ربّه راضياً في نفسه لا مُتحسِّراً ولا حزيناً.
    وبرغم عظيم حبّ المُقربين لربّهم ولكنّهم لم يحيطوا بعظيم حسرة حبيبهم الله أرحم الراحمين في نفسه، ولذلك رضوا بنعيم جنته ]]


    ألا وإنّ فضل الله ببعث الإمام المهديّ في هذه الأمّة كان عظيماً.

    وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..
    أخوكم؛ الإمام المهدي ناصر محمد اليماني.
    ___________

    اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..




المواضيع المتشابهه
  1. Kimbieni kutokana Na Allah Muleke Kwake Ikiwa Nyinyi Mwa Amini Kua Allah Yeye Ni Arrhama Arrahimin..
    بواسطة زينة الإسلام (فارسة الحق) في المنتدى Swahili
    مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 18-07-2020, 02:59 PM
  2. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 13-12-2019, 11:50 AM
  3. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 29-07-2019, 07:14 PM
  4. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 20-10-2018, 12:32 PM
  5. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 04-02-2018, 01:14 PM